
TAMSYA YAPATA UGENI KUTOKA UTURUKI
GENÇ Association yatembelea TAMSYA katika Kuimarisha Uhusiano wa Vijana kati ya Uturuki na Tanzania Dar es Salaam, 12 Septemba 2025 — Jumuiya ya Wanafunzi na Vijana wa Kiislamu Tanzania (TAMSYA) ...

KONGAMANO LA VIJANA WA KIISLAMU AFRIKA MASHARIKI
Mkutano mkubwa wa vijana wa Kiislamu wa Afrika Mashariki ujulikanao kama East Africa Muslim Youth Conference, unaoandaliwa kwa ushirikiano wa jumuiya tatu kuu za vijana wa Kiislamu katika kanda yetu, ...

SAFARI YANGU MKOANI KATAVI
Mwishoni mwa November kuanzia 14 mpaka 22 2024 nilibahatika kufika Mkoani Katavi katika wilaya za Tanganyika, Melele, Nsimbo na Mpanda Kwa hakika yapo mengi ya kujifunza juu ya Neema za Allah katika U...

MKUTANO MKUU TAMSYA PWANI A
Mkutano wa TAMSYA Pwani A uliofanyika novemba 23 katika chuo cha Kibaha Institute of Business. Mkutano huo wajumbe mbalimbali waliweza kuhudhuria akiwemo kiongozi wa Taifa ambae alikuwa ni kaimu Naibu...

ZIARA ZA KIUTENDAJIÂ - TAMSYA DAR ES SALAAM
Assalam aleykum warahmatullah wabarakatuh Amiri Mkoa wa Dar es salaam akiambatana na Katibu wilaya ya Ilala katika ziara ya kiutendaji kutembelea tawi la shule ya sekondari zanaki....

TAMSYA DARSA
Idara ya Da' awa TAMSYA TAIFA inakutaarifu kuwa kesho siku Jumamosi tarehe 27.04.2024 kutakuwa na mwendelezo wa Darsa letu ambalo hufanyika kila jumamosi...

UZINDUZI WA TAMSYA DODOMA CENTRE
Hatimaye Ile kiu kubwa ya viongozi wa TAMSYA Mkoa wa Dodoma ya kuhakikisha Wanafunzi na vijana wa Kiislamu Mkoa wa Dodoma wanakuwa na kituo Chao Maalumu Cha Elimu inakwenda kukamilishwa kwa Uzinduzi w...