Account Name: TANZANIA MUSLIM STUDENTS AND YOUTH ASSOCIATION
Account Number: 0150439981200
Phone Number: 0710 640 161
Account Number: 048138000165
Pichani ni wanufaika wa vazi la hijabu ambazo zilizotorewa na uongozi wa TAMSYA Morogoro kupitia mwalimu wao mlezi wa Shule ya Mlandizi - Mvomero. Hii ni katika kuendeleza maazimio ya upatikanaji wa vazi la hijab kwa wanafunzi wa kiislamu mashuleni.